Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga pamoja na Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo Dkt. Jim Yonazi wakiwa nje ya hoteli ya Movenpick Jijini Windhoek Namibia ambapo wameshiriki Mkutano wa Nane wa Ngazi ya Viongozi kuhusu masuala ya kupunguza athari za Maafa.