Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga pamoja na Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo Dkt. Jim Yonazi wakiwa nje ya hoteli ya Movenpick Jijini Windhoek Namibia ambapo wameshiriki Mkutano wa Nane wa Ngazi ya Viongozi kuhusu masuala ya kupunguza athari za Maafa.
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Kazi na Uchukuzi Nchini Namibia Mhe. John Mutorwa akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Nane wa Ngazi ya Viongozi kuhusu masuala ya kupunguza athari Jijini Windhoek Namibia.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)Dkt. Jim Yonazi akifuatilia mkutano huo.