HABARI PICHA: SERENGETI FESTIVAL 2022 UPDATES



Mwananchi wafurika Tamasha la Serengeti

Viwanja vya Chinangali Park Dodoma, usiku huu Machi 12, 2022 mambo ni 🔥🔥🔥

Mamia ya watu wafurika kushuhudia zaidi ya wasanii 200 wanaotarajia kupanda jukwaani kwenye msimu wa pili wa Tamasha la Serengeti ambalo limeanza leo Machi 12 na 13, 2022.

Ni kwa shilingi 3000 tu getini.

#serengetimusicfestival
#MadeinTanzania








Previous Post Next Post