RAIS MWINYI MGENI RASMI MASHINDANO MAKUBWA YA QUR'AAN MABALA ULIMWENGUNI

 



Na Lilian Ekonga......


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussen Ali  Mwinyi anatarijiwa kuwa mgeni rasmi katika mashindano  ya 25 Makubwa ya QUR'AAN tukufu  ya Mabala yote  ulimwenguni yanayo tarajiwa kufanyika  Machi 16 katika uwanja wa Taifa jinini  Dar es salaam.


Ameyasema hayo Leo Machi 12 Mwenyekiti wa taasisi ya Alhkima Sheikh Nurdeen Kishki ambao ndio waandajina wa mashindano hayo  wakati akizungumza na waandishi wa habari ambapo amesema Mshindi wa Kwanza kwenye  Mashindano ataondoka na kitita cha shilingi Milioni 3o.


"Waziri Mkuu Kassim Majiliwa na Naibu Waziri Mkuu  Dotto Biteko watakuwepo pamoja na  wageni kutoka oman, South Afrika, Uingereza, Kenya, Burudi n Rwanda na Dunia nzima imekwisha  changamka kujuione bara lipi litaondoka na fedha hizo" amesema shekhe Kishki


Ameongeza Kuwa mashindano yameshikirisha washiriki 17 kutoka  mabala sita ambapo kwa watanzania watatoka washiriki watatu Tanzania bara, Zanzibar na mmoj kutoka Taasisi ya Alhkima ambao ndio waandaji wa Mashindano hayo

Aidha amesema mashindano yataanza kuanzia saa kumi 12 na Nusu  Hasubuhi na kumalizika saa sita nusu Mchana huku akiwa wakaribisha waumi wa dini ya kislamu na watanzania wote kwenda kujifunza Kitabu cha QUR'AAN tukufu.


"Taasisi ya Alkhima imefanaya mashinda ya QUR'AAN kwa Miaka 25 kuanzia mwaka 2000 hadi 2025 na matunda na haya mashandino imeleta muako wa kusoma QUR'AAN umeongeza  na Waislamu wanapenda zaidi Sasa hivi kutoka na Haya mashindano, tumela mageuzi na tumefanya familia nyingi kupenda QUR'AAN" amesema Kishki

Previous Post Next Post