#WikiyaMadininaFEMATA
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango ambaye ni mgeni rasmi katika Ufunguzi wa Kongamano la Madini ametembelea mabanda ya Maonesho ya Madini na vifaa vya uchimbaji yanayokwenda sambamba na Kongamano hilo baada ya kupokelewa na viongozi wa Mkoa wa Dodoma, Wizara na FEMATA