Matukio katika picha: Shughuli ya kuaga mwili wa Hayati Edward Lowassa
bySPARKLIGHT BLOG-
Matukio katika picha wakati wa shughuli ya kuaga mwili wa Hayati Edward Lowassa Waziri Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 13 Februari, 2024 katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar es salaam.